Heslb imetoa muongozo wa kuomba mkopo

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini imetoa kitabu cha muongozo (maelekezo) ya kuomba mkopo kwa mwaka wa masomo 2016/17. Aidha bodi hiyo imetangaza muda wa kupokea maombi ya mkopo ambayo ni kuanzia tar 27 juni mpaka tar 31 julai mwaka huu na pia lazima maombi yote yafanyike kwa njia ya mtandao kwa kupitia mfumo maalum wa maombi kwa njia ya mtandao.
Pia kwenye kitabu hiko zimetajwa kozi zenye vipaumbele na zile ambazo hazijapewa vipaumbele kwa mwaka huu.

Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi

Bonyeza hapa ili kusoma na kudownlod kitabu cha HESLB


Comments

Popular posts from this blog

Tuwalinde watoto wetu na madhara yatokanayo na Pempasi

Mwanamke na Uongozi

Unyanyasaji wa Kijinsia