RAIS MAGUFULI AMEFANYA MABADILIKO KWA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA
Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, Leo tar 20 juni 2016 amefanya mabadiliko katika safi ya wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya. Taarifa hiyo kwa vyombo vya habari imetolewa leo na Kaimu wa mawasiliano na habari Ikulu bwana Gerson Msigwa.
Comments
Post a Comment