Raia wa Uingereza kupiga kura ya maoni

Leo raia wa Uingereza watapiga kura ya maoni ili kufanya maamuzi ya kubaki au kujiondoa kwenye umoja wa Ulaya (EU). Uingereza ilifikia uamuzi huo baada ya kuwa na mgogoro wa muda mrefu kutoka kwa wanasiasa wa upinzani ambao wamekuwa wakitaka Uingereza kujiondoa kwenye umoja huo. Na pia kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Waziri mkuu David Cameroon aliahidi kupigwa kwa kura hiyo wakati wa kampeni zake.
Kumekua na pande mbili ambapo upande mmoja ukitaka nchi hiyo isalie kwenye umoja huo huku upande huo wa pili ukitaka nchi hiyo kujiondoa.

David Cameroon akiwa kwenye kampeni za kutaka Uingereza isalie EU.


Comments

Popular posts from this blog

Tuwalinde watoto wetu na madhara yatokanayo na Pempasi

Mwanamke na Uongozi

Unyanyasaji wa Kijinsia